Wednesday, May 18, 2011

WASNII WTOA KILIO CHAO KWA WAZIRI NCHIMIBI.




Mwanamziki mkongwe, Hamza Kalala nae akichangia mada.Hamis Mwinjuma a.k.a MwanaFA nae akichangia mada. 
Msanii wa kizazi kipya Keisha akitilia msisitizo.
Adam Juma wa Visual Lab akichangia mada.
Katibu Mtendaji wa BASATA, Gonche Materego akiwa na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe. Dr. Emmanuel Nchimbi (Mb) akiomuongoza kuingia katika mkutano na wasanii katika ukumbi wa BASATA.Msanii mkongwe Mzee Mapili nae hakuwa nyuma.
Wasanii wa kizazi kipya wao walikuwepo.
Waimbaji wa nyimbo za injili nao waliitikia mwitikio.Hapa wasanii walikuwa wakibadilishana mawili matatu.
Wasanii wakijiandikisha nkuingia kwenye mkutano.
KWA HABARI ZAID GONGA HAPA

No comments:

Post a Comment