Thursday, May 26, 2011

VODACOM WAKABIDHI ZAWADI KWA WASHINDI WA LIGI KUU TANZANIA BARA

Mwakilishi wa timu ya Ruvu Shooting iimechaguliwa kuwa timu yenye nidhamu hivyo wamepata zawadi ya Mil.6.2
Mjumbe wa Kamati ya Utendaji Salum Rupia akipokea mfano wa hundi yenye thamani ya sh.Mil. 42 iliyotolewa na wadhamini wa michuano ya Ligi Kuu ya Vodacom ambao pia ndiyo washindi wa Ligi hiyo hafla hiyo ilifanyika katika Hoteli ya City Paradise leo mchana ambapo Waziri wa Habari Utamaduni na Michezo Emmanuel Nchimbi ndiye alikuwa mgeni rasmi.
Kocha wa Timu ya Taifa ya Vijana U23 Jamhuri Kihwelu akipokea hundi yenye thani ya sh. Mil.17 ambapo timu yaSimba wamekuwa washindi w3a pili wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara .
Kutoka kulia ni Mtangazaji wa Redio One na ITV Maulid Kitenge, aliyekuwa Mwenyekiti wa Yanga Imani Mahugila Madega,Mhariri wa Habari za Michezo na Burudani Gazeti la Majira Suleiman Mbuguni na mwendeshaji wa Blog hii Khadija Kalili leo mchana katika hafla hiyo.

No comments:

Post a Comment